Search

62 results for Christian Bwaya :

  1. Uanaume haulindwi kwa kupuuza hisia

    Nimekuwa nikizungumzia dhana ya uanaume na madhara yake kwa afya ya akili ya wanaume. Ikiwa hukuweza kusoma makala zilizopita, nilirejea kidogo tafiti mbalimbali zinazoonesha kuwa wanaume wengi...

  2. PRIME Uanaume una mengi yasiyozungumzwa

    Takwimu za wastani wa umri wa kuishi katika nchi nyingi zinaonesha wanaume huwatangulia wake zao kufariki dunia. Uwezekano wa mke kuwa mjane ni mkubwa zaidi kuliko mwanamume kuwa mgane.

  3. Ukiwasahau utotoni ujue uzeeni hawatakukumbuka

    Nimekutana na Qambebeda Morogoro. Qambebeda ni rafiki yangu tangu utotoni. Hatujaonana naye tangu tumemaliza darasa la saba. Kwa hakika tunayo mengi ya kukumbusha na kuzungumza. Kubwa ni hekima...

  4. PRIME Hatari kwa wanandoa kufichana mali, fedha

    Wakati wimbi la ndoa kuvunjika likiendelea kutikisa kwenye jamii, tahadhari imetolewa kwa wanandoa wanaowaficha wenza wao kuhusu mali wanazomiliki kwa kuhofia kuachana.

  5. Umuhimu wa vikao vya familia

    Ni kawaida kila ifikapo mwisho wa mwaka kwa baadhi ya familia za Wachaga kufunga safari kutoka pande zote za nchi na kurejea kwao mkoani Kilimanjaro, pamoja na kusherehekea sikuu za mwisho wa...

  6. PRIME Wiki sita za moto kwa wanafunzi wa darasa la tatu

    Serikali hivi karibuni ilitoa waraka wa elimu namba 05 ambao pamoja ma mambo mengine unazungumzia ufundishwaji wa masomo ya mtalaa mpya kwa wanafunzi wa elimu ya msingi na sekondari.

  7. Bajeti ilivyoleta elimu bila ada kidato cha tano, cha sita

    Juni mwaka jana, Serikali ilitangaza fursa ya elimu bila ada kuwafikia pia wanafunzi wa kidato cha tano na sita.

  8. Yanayochangia wasichana kujirahisisha kwa walimu

    Wakati uzoefu ukionyesha walimu kuwanyanyasa kijinsia wanafunzi wao wa kike, imebainika katika baadhi ya nyakati wapo wasichana wanaowaweka walimu wao kwenye wakati mgumu.

  9. Michepuko inavyovuruga mipango ya familia

    Jana jioni nimepata bahati kupata chai na injinia. Nisingependa kutaja jina lake kwa minajili ya kutunza faragha yake, lakini ni mtu mwenye mafanikio makubwa katika maisha yake na biashara.

  10. PRIME Zifahamu athari za wanandoa kununiana na tiba yake

    Imeelezwa kuwa suala la wanandoa kununiana ndani ya nyumba kwa muda mrefu ni miongoni mwa mambo yanayoweza kusababisha kuvunjika kwa ndoa.

Page 1 of 7

Next